Miradi mingi inapokamilika husubiria kiongozi flani kuzinduliwa ,sawa ni jambo sahihi kuweka alama ya kumbukumbu ya kihistoria lakini sioni kama ni sahihi kuzuia huduma kwani ni kukosa maana sahihi ya malengo mahsusi ya MRADI.
JE wewe ipi mbongo yako juu ya hili
Mamlaka za mitandao ya simu bado zinasisitiza kuangalia namba zenu kwa mfumo huo mpka sasa. Na makupuni ya simu hukupigia wakati mwingine kukusisitiza kufanya ivo.
Serikali kupitia mamlaka yake ya Usajili wa Vitambulisho vya Taifa (NIDA) ilitoa muongozo wa kupata namba yako ya NIDA kwa njia ya kielectronic kama tayari MTU kishafika kwenye mamlaka halisi na kujisajili lakini anasubilia namba.
Cha kushangaza ,Unapo andika ombi La kupata namba huambiwa ombi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.