Recent content by cobyn

  1. cobyn

    Arusha ni sehemu ambayo changamoto ya miundo mbinu ya barabara ni kubwa kuliko sehemu yoyote Tanzania

    Ujenzi wa uwanja wa arusha kwa ajili ya afcon ni fursa adhimu kwa waandaji kwa maana kwamba africa iko mikononi wa east africa 2027 Nimekuwa nikufuatilia mijadala ya wadau wa michezo na wanamichezo kuhusua maandalizi yenyewe kila mmoja anatoa mawazo ya namna maandalizi haya yafanyikie. Arusha...
  2. cobyn

    Wakenya wanavyotusema kuhusu Olympic ya Paris

    Wacha watuseme sana maana hatuandai wanamichezo wetu watu wanaanda matumbo yao
Back
Top Bottom