Habari ndugu zangu, mm ni kijana ambaye nimesomea kozi mbali mbali za ukocha japo level yangu siyo kubwa sana lakini namshukuru Mungu kwa hapa nilipofika.
Kwa sasa nafundisha watoto kuanzia miaka 5-16 wa jinsia zote kwa zaidi ya miaka 5 sasa.
Kama kuna swali, maoni, ushauri karibuni.
link...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.