Mkurugenzi wa Kituo cha Ubia nchini Tanzania (PPPC), Bwana David Kafulila, akihutubia katika mhadhara wa umma uliofanyika Tengeru Institute of Community Development (TICD) jijini Arusha, ameisifu Dira ya Taifa 2050 kwa kuelekeza nguvu zaidi kwenye maendeleo ya watu kuliko vitu.
Kafulila alisema...
==
Mkurugenzi wa Kituo cha Ubia nchini Tanzania (PPPC), Bwana David Kafulila, akiwa katika Tengeru Institute of Community Development (TICD) jijini Arusha, amekaririwa akisema kuwa “Kwa mujibu wa sheria, mradi wa ubia ni mali ya umma kabla, wakati na hata baada ya utekelezaji wake. Lengo kuu ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.