Recent content by CM 1774858

  1. CM 1774858

    JamiiForums Tanzania David Kafulila: Rais Samia ametoa Shilingi trilioni moja ili kuwakopesha wakulima kwa riba ya 9% zipo NMB na CRDB nia kukuza Kilimo walau kwa 8-10%

    https://www.instagram.com/reel/Dc-fV2YAgEN/?stkn=MTI3M3czY3cyajR1NA==
  2. CM 1774858

    JamiiForums Tanzania David Kafulila: Mwaka 2050 idadi yetu itafikia mil 140 na kila mtu atakuwa na wastani wa kipato cha Sh. mil 20 kama pato lake la Mwaka

    Mkurugenzi wa Kituo cha Ubia nchini Tanzania (PPPC), Bwana David Kafulila, akihutubia katika mhadhara wa umma uliofanyika Tengeru Institute of Community Development (TICD) jijini Arusha, ameisifu Dira ya Taifa 2050 kwa kuelekeza nguvu zaidi kwenye maendeleo ya watu kuliko vitu. Kafulila alisema...
  3. CM 1774858

    JamiiForums Tanzania Rais Samia ampiku Hayati Magufuli kwenye kila sekta

    imeenda
  4. CM 1774858

    JamiiForums Tanzania David Kafulila: Sayansi ya Uchumi inataka 60% ya mapato itumike kwaajili ya maendeleo ya Watu na 40% inasalia itumike kwaajili ya maendeleo ya Vitu

    == Mkurugenzi wa Kituo cha Ubia nchini Tanzania (PPPC), Bwana David Kafulila, akiwa katika Tengeru Institute of Community Development (TICD) jijini Arusha, amekaririwa akisema kuwa “Kwa mujibu wa sheria, mradi wa ubia ni mali ya umma kabla, wakati na hata baada ya utekelezaji wake. Lengo kuu ni...
  5. CM 1774858

    JamiiForums Tanzania Wekeni hapa ahadi zote za Samia 2025-2030

    wapi?
  6. CM 1774858

    JamiiForums Tanzania Wekeni hapa ahadi zote za Samia 2025-2030

    sio mil 10 ni elfu 10,000
Back
Top Bottom