Nimemsikiliza huyu Kafulila kwenye hayo mahojiano,
Nakubaliana kabisa ni kweli deni la Taifa limekua,
Lakini pia, Nimekubaliana kuwa ni kweli Uchumia wa Taifa pia umekuwa.
Hoja hapa deni limekuwa kwa kiasi gani na Uchumi umekuwa kwa kiasi gani?
Asante Kafulila
Team:
Nimemsikiliza vizuri sana Kafulila na huu ndio mchango wangu,
1. Nikweli kwamba Uchumi wa Mtu mmoja mmoja umekua hasa kwa kupunguza Umasikini wa Huduma.
2. Nikweli kwamba kama Taifa hatupashwi kulalamika tu ni lazima pia kuwasikiliza vizuri Wataalam.
3. Hili la Pato la Kila Mtanzania...
Tunaposema chini ya Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan Watanzania wamekuwa na raha lazima tuwe Tunaelezwa,
Tangu uhuru rekodi hii ya furaha kwa Watanzania haijawahi kufikiwa,
#Sasa 2025 tumuache Mama tuende kwa nani?
===...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.