Aiseee wataiua Serengeti lite na Kilimanjaro ndogo, ujue Kwa sasa hivi Serengeti lite na Kilimanjaro ndogo ndio bia zinazokiki Kwa sasa sio kuwa ni tamu? Hapana ni kutokana na bei kuwa ya chini, yani Kama watapunguza kufikia hiyo bei kweli kabisa Serengeti lite itakufa kifo cha mende
Yupo demu langu nililikataza Kata Kata kumpigia magufuli nikatishia kuwa likifanya hivyo nitaacha Lakini cha ajabu lilienda likampigia magufuli nilikuja kujua baadae Sana na sasa hivi lilimaliza chuo Kikuuu hadi Leo hajapata ajira Wakati walikuwa wakimaliza ualimu wanaajiriwa moja Kwa moja yani...
Yani unahamishwa toka Kata Fulani kwenda Kata ya jirani ulale gesti acheni matumizi mabaya Ya hela za walalahoi katumikie taifa mwisho wa mwezi upate mshahara maisha yaendelee
Pambana na Hali yako yani mtu alihangaika kutafuta mtaji akaanzisha kiwanda halafu unakuja kulia lia hapa katafute mtaji uwanzishe cha kwako au mlilie rais wako achana na raia wa nchi nyingne
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.