DAR-MWANZA nauli 35,000 - 45,000/= Inategemeana na bargaining power yako tu pale ubungo bus terminal
pia nakushauri ukate siku hyo hyo ya safari uwahi tu mapema sana hapo UBT.
Lodge ya kawaida utaipata tu hapo hapo tena karibu na Mwanza Secondary unapofanyia usaili ili usipatwe na gharama ya...
umeona eehh!! bwana barry.kuna watu wengine wana ujinga tu yan.vipi barry ushawafuatilia ww hawa posta kwa kuwapigia? nipe jibu mdau wangu a.k.a mzazi wa wazazi baba la mtoto.
next week ndo results wanatoa hivyo kaa tu mkao wa kula kama utakuwa shortlisted ni kumuomba tu mungu maana walisema after 1 week ila imezidi yani ndo hapo majanga ya uchakachuaji.kwa maelezo zaidi yauhakika kama nilivopewa mimi baada ya kuwapigia wao simu ya mkononi rejea email yako ya kuitwa...
uwekwe roho juu kwan ww roho yako iko chini? acha kushushupatika ww.uombe :help: afu tena ujifanye huamini uambiwacho.utajibeba watu jana hureeee......
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.