Mada yako nzuri ila kwa haya labda unafanya tangazo kweli kama.wadau wanavyodai mkuu
Mume wangu mtarajiwa na yeye ana tabia kama zako na kamwe sijawahi kumuomba huwa ananipa anapojisikia mwenyewe
Mtoa mada kaongea jambo la maana wenye akili tumemuelewa.
Haipendezi mwanamke kuwa na njaa kiasi kwamba hata elfu kumi ikushinde.
Anataka akiombwa hela iwe kubwa na iwe kwa ajili ya kufanyia jambo la kimaendeleo.
Hizo laki mbili mbili naamini huwa anatoa bila kuombwa pale anapojisikia.
Kwani mim nayatajaga basi mkuu?
Yakiniona tu sehemu yanakuja kuniita mwanaume hasa moja lina ID ya kike.
Mimi sioni shida kuitwa mwanaume mkuu yanajichoshaga bure tu.
Kwa ninavyoyachukia hata siwezi kuchoka mkuu.
Halafu yana tabia yakijua huyapendi yanakugeuzia kibao.
Mimi kila ninapokoment yana quote na kuniita mwanaume.
Wewe watakugeuzia kibao kuwa wewe ni shoga ila usijali.
Nimejaribu nimeshindwa mkuu.
Yanakera sana.
Hata humu yanaongoza kwa kuongea matusi yale makubwa makubwa.
Majitu hayana utu wala utashi.
Unakuta jitu linaelezea bila tafsida vile linavyofyokolewa.
Ukiniona nawaombea ujue nawaombea kifo tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.