Recent content by Cleopatrasat

  1. C

    Nawaza kufungua kampuni ya kilimo ili wanaotaka kulima walime bila kuingia shamba

    Nakuelewa lakini pia nakupinga,masharti sio lazima yawe kama Yao mi naweza kutumia njia mbadala kujipatia faida yangu.
  2. C

    Nawaza kufungua kampuni ya kilimo ili wanaotaka kulima walime bila kuingia shamba

    Kwanini mawazo hasi tuu??? Kwenye mabenki ni pesa za kina nani zipo?? Huo ni uwekezaji kama uwekezaji mwingine watu wangefikiria hizo akili zenu wasingekua wakiwekeza.😂
  3. C

    Nawaza kufungua kampuni ya kilimo ili wanaotaka kulima walime bila kuingia shamba

    Kuanguka kupo kila sehemu dia. Lazima mtu ujiandae kupanda na kushuka,nafikiri sio kikwazo kwangu kwasababu wao wamefeli lakini wapo wanaofurahia kilimo,hivyo ni kujiandaa kwa lolote tuu
  4. C

    Nawaza kufungua kampuni ya kilimo ili wanaotaka kulima walime bila kuingia shamba

    Risk takers wanafanikiwa sana lakini wewe akili imelala hivo usitegemee kutoboa 😂.
  5. C

    Nawaza kufungua kampuni ya kilimo ili wanaotaka kulima walime bila kuingia shamba

    Linaweza kuwa sio geni likawa na mbinu tofauti na wanazotumia wao ,wao wanayo masharti yanayokuacha hoi mie naweza nisiwe na hayo masharti nikatumia njia tofauti kufanikisha ninachotaka kufanya
  6. C

    Nawaza kufungua kampuni ya kilimo ili wanaotaka kulima walime bila kuingia shamba

    Kwani akili zangu ni zako?? Kwasababu wewe utatokomea kusipojulikana basi na miminifanye hivo
  7. C

    Nawaza kufungua kampuni ya kilimo ili wanaotaka kulima walime bila kuingia shamba

    Umeongea jambo Ka msingi sana ,changamoto zipo kila kona , risk takers ndio hufanikiwa watu wamekalia loss loss ,loss zipo kila kona
  8. C

    Nawaza kufungua kampuni ya kilimo ili wanaotaka kulima walime bila kuingia shamba

    Nakijua kilimo kuliko neno lenyewe ,siwezi kukurupuka kufanya kitu sikifahamu nitakuja nafanya nini sasa ??
  9. C

    Nawaza kufungua kampuni ya kilimo ili wanaotaka kulima walime bila kuingia shamba

    Watu wangu wengi wa karibu ni wafanyakazi katika makampuni hapa Dar es salaam lakini wanapenda sana kujihusisha katika kilimo, kutokana na kazi kuwabana na uaminifu mdogo kati ya ndugu au rafiki katika pesa wengi wao wameshindwa kuwekeza kwenye kilimo kuhofia usimamizi wake utakua mdogo sana au...
Back
Top Bottom