Recent content by CLEMO

  1. C

    Watu 15 mbaroni kwa njama za Kutaka kumtorosha Mchungaji Gwajima

    Hahaha...Gwajima sio mtumishi wa Mungu....i know na ndo ukweli wakuu mtaona mengi sana na kusikia...Bwana awajua walio wake
  2. C

    Gwajima leo ataenda kumalizia mahojiano, vyombo vya usalama acheni ujinga

    Jamani acheni upuuzi...who is Gwajima by the way mpaka mnataka kutuaminisha kuwa leo hii ndo kila mtu awe ni mtetezi wake...kwanza ana skendo kibao...hayo hamuyaoni?pili kipindi kile cha skendo ya Mbasha mbona ulikuwa kimya........huyu kwanza hana nidhamu kumtusi Pengo.....na pia wala hana...
  3. C

    Tanzia: Kocha Sylvester Marsh hatuko nae tena

    Habari za mchana huu,nipo kwenye viwanja vya shule ya msingi Mirongo this tyme kumuaga shujaa wa soka kwa mkoa wa Mwanza na aliyekuwa kocha msaidizi wa taifa stars Mr Marsh,kiukweli watu wamejitokeza na ukisikia salam za watu walokuwa wanamfahamu kiukweli tumepoteza mdau muhimu wa soka hapa...
  4. C

    Mzungu aelezea maisha yake Tanzania

    It is real true
Back
Top Bottom