Recent content by Cleanser

  1. C

    GE2010 CONFIRMED: Vunjo ni ya Mrema Augustine!

    Nadhani wengi hapa mnaandika kwa kudhani sio kwa kumjua Mrema. Kufanya kazi serekalini sio lazima uwe kibaraka. Unaposema hana jipya si kuelewi, kama unamjua, ameshakuja na mapya mangapi na hao wengine wana mapya gani. Tusifate mkumbo tuandike tuliyo na uhakika nayo.
  2. C

    GE2010 Matokeo ya awali toka Mkoa wa Mwanza

    Nashukuru saana kwa taarifa. ubunge vipi?
Back
Top Bottom