Nadhani wengi hapa mnaandika kwa kudhani sio kwa kumjua Mrema. Kufanya kazi serekalini sio lazima uwe kibaraka. Unaposema hana jipya si kuelewi, kama unamjua, ameshakuja na mapya mangapi na hao wengine wana mapya gani. Tusifate mkumbo tuandike tuliyo na uhakika nayo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.