Dhana za dini naona znaanza kupenya taratibu tu na impact yake ni maangamizi ya wasio na hatia
Hili ni la kuangalia kwa jicho la nne if possible c la kupuuza!
Wakristo, Waislamu wote ni binadam na wote wanaamn katika Mungu alie mmoja kila mtu apewe heshima yake tu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.