mimi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 32 ,dini muislamu ni mwajiriwa wa serikali kada ya Elimu, nafanya kazi halmashauri ya jiji la mwanza, natafuta mwanamke aliye serious kuolewa na kuwa na maisha yake.
sifa za mwanamke nimtakaye
1 Awe muislamu anaye ijua dini
2 umri miaka 22 mpaka...