Yote yanayofanyika hata uongozi wa juu unayajua.Alafu eti m2 anatoa hotuba kwa kusema, eti tumejizatiti kuwaondoa watendaji wabovu. Mbona usiwaondoe hawa waliojilimbikizia hayo mapesa kama wewe huusiki pia.
Nafikiri hao TRA hawajatoa elimu ya kutosha kwa wanaotakiwa kutumia EFD, kwani wanaotakiwa kutumia hizo EFD ni wale wenye mauzo ya sh:14,000,000 kwa mwaka ni sawa na mauzo ya sh:38,500 kwa siku.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.