Recent content by Claud kubuteba

  1. Claud kubuteba

    JamiiForums Tanzania Kilimo cha nyanya kinalipa, elimu ya kilimo ni ndogo

    Wana JF habari za uzima, natamani nifanye kilimo cha nyanya ifikapo masika, ila bado kuna mambo nashindwa kuyaelewa vizuri. 1-Nyanya inaitaji joto la wastani, lakini mimi nipo Pwani maeneo ya Mkuranga muda huu joto linasoma 27° . Sijui kama mmea utastawi vizuri au kama kuna mtu analima maeneo...
Back
Top Bottom