Recent content by Class

  1. Class

    GE2025 Tunatokaje? Huu utakuwa uzi maalum. Mihemko tuweke pembeni. Ila ukweli na suluhu tusiviache

    Kuna watu niliwahi kuwambia msiwasingizie washauri et wanaomshauri vibaya. Nikawambia uyu mama yenu ana roho ngumu,na pia ni katili sana msiwasingizie watu.haya Leo kila mtu ameshuhudia vile askari wa kukodishwa walivyoua watu waliokua majumbani na barabarani . Watu wamekufa jamani,Kuna maiti...
  2. Class

    Je, inawezekana kuomba Chuo Kikuu kwa kwenda moja kwa moja Chuoni?

    Mrejesho. Nmekwenda TCU na wameshauri niende chuo husika ninachohitaji.kesho nitakwenda chuoni
  3. Class

    Je, inawezekana kuomba Chuo Kikuu kwa kwenda moja kwa moja Chuoni?

    Ngoja tujaribu tu kuomba direct ,tutapambana huko mbele
  4. Class

    Je, inawezekana kuomba Chuo Kikuu kwa kwenda moja kwa moja Chuoni?

    Maamuzi take ni kusoma MD ila ufaulu umemgharimu. Kilicholeta Shida hasa ni kuwaza kith kipya ambacho hakukiwaza
  5. Class

    Je, inawezekana kuomba Chuo Kikuu kwa kwenda moja kwa moja Chuoni?

    Ni kweli lakini kiutanzania watu wengi sana wanasoma nje ya ndoto zao na sababu ni nyingi.sababu zipo zinazokwepeka na zingine hukwepi hasa kama hujafikia ufaulu unaotakiwa kwa course husika
  6. Class

    Je, inawezekana kuomba Chuo Kikuu kwa kwenda moja kwa moja Chuoni?

    Nataman asome DIT,UDSM au ardhi, Kesho nitafanya hivyo mapema sana,shukrani sana kwa muongozo
  7. Class

    Je, inawezekana kuomba Chuo Kikuu kwa kwenda moja kwa moja Chuoni?

    Hapana chief mie ni Mzee kwa Sasa,huyu ni last born wetu ndio anahangaika na elimu
  8. Class

    Je, inawezekana kuomba Chuo Kikuu kwa kwenda moja kwa moja Chuoni?

    Kwa Sasa yeye yupo mkoani,na chuo alichopata mara ya kwanza ni mkoani pia ila Mimi nipo dsm. Mkuu Sasa hapo nianze TCU au Chuo anachotaka kusoma
  9. Class

    Je, inawezekana kuomba Chuo Kikuu kwa kwenda moja kwa moja Chuoni?

    Shukrani sana mkuu,Yuko na two ya 10. Kwa Sasa ameachana na afya anataka zingine
  10. Class

    Je, inawezekana kuomba Chuo Kikuu kwa kwenda moja kwa moja Chuoni?

    Asante mkuu,kwa Sasa sio afya you anataka zingine pia ila udahili umefungwa tayari
  11. Class

    Je, inawezekana kuomba Chuo Kikuu kwa kwenda moja kwa moja Chuoni?

    Habari za muda huu. Naombeni msaada na muongozo wa namna ya kupata nafasi ya kusoma shahada katika CHUO KIKUU bila kupitia mfumo uliowekwa na TCU maana huko nmekosa. Iko hivi,mdogo wangu ana division II ya 10 PCB ikiwa Chemistry -D Biology -C Physics -C Dirisha la kwanza aliomba courses...
  12. Class

    Natafuta mfanyakazi wa saloon ya kike

    Asante,ukimpata nisaidie
Back
Top Bottom