Recent content by clarise

  1. C

    Naomba kujuzwa wanapofundisha elimu ya upambaji

    Wakuu poleni na majukumu ya Kila siku,,nauliza kwa anaefahamu wanapofundisha kupamba, kumbi za starehe au katika sherehe yoyote,kwa jiji la Mbeya Sent using Jamii Forums mobile app
  2. C

    Kazi ya clinical officer

    Naomba msaada kwa yoyote anaefahamu mahali wanahitaji clinical officer , nmemaliza mwaka 2017,nko tayar kufanya eneo lolote kwwnye uhitaji
  3. C

    Anatafutwa ADO

    Habari wakuu,anatafutwa mtu aliyesoma ADO...kwaajili ya kuuza duka la Dawa,duka liko Mbeya wilaya ya chunya,elimu yake isiwe chini ya form four,awe na uelewa kidogo kuhusu huduma za afya,mwenyew vigezo au kumfaham mtu aje pm
  4. C

    Dondoo kuhusu ufadhili wa masomo nje ya Tanzania (Scholarship updates)

    Wakuu,VIP Kama ninahitaji sponsorship ya Medical Doctor,kwa vyuo vya hapa Tanzania??
  5. C

    Clinical officer natafuta kaz

    Asante mkuu,,nimeaply tayari
  6. C

    Clinical officer natafuta kaz

    Wapendwa naomba msaada kwa yyt anaefaham,Mimi nimemaliza clinical officer ,n binti nna miaka 24,nko singida natafuta Kaz kwenye hospital,NGOs,health centre au dispensary
  7. C

    Clinical officer natafuta kazi

    Asante mkuu
  8. C

    Clinical officer natafuta kazi

    Habari wakuu,,mimi n kijana nina miaka 23 nimemaliza diploma ya utabibu (clinical officer)2017 nahitaji kazi ,especially kwenye mashirika binafsi,,kwa yoyote anaefaham anisaidie
Back
Top Bottom