Habari za wakati huu
Napenda kufahamu jambo moja kutoka kwa watu wenye uzoefu kwenye biashara
Kuna jamaa mmoja anataka nimpe risiti ya EFD lakini kiujalisia kazi hajanipa (yani sijafanya kazi yoyote
Masharti anilipe 18% ya hiyo pesa ninayompa risiti ni pesa ndefu karibia 10 m.
Je, hapa...
[emoji24][emoji24]Some people they dont understand this situation how it is. Ni shida hasa ukiwa siyo mtu wa kutoka toka.
Asante kunitia moyo mkuu
Be blessed!
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3]ndo mana JPM anatusisitiza tufanye kazi alafu watu kama wewe msioangaika hampendi kuambiwa muwe na kazi. Kazi ndiyo msingi wa maisha. Am hardworking do you think nikiwa na rafiki asiye na kazi au asiyejishughulisha will we match?
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.