Recent content by Ck The Mr

  1. C

    Sakata la wanafunzi kukosa mikopo: TAHLISO yazidi kuikaba Serikali

    huo ndio uongozi bora, kupigania, kusimamia na kuhakikisha haki inatolewa kwa wote.
  2. C

    Naombeni ushauri

    nashukuru sana kwa ushauri wako wenye matumaini, ngoja nijaribu kukopa huenda nitafanikiwa.
  3. C

    Naombeni ushauri

    nimekuelewa mkuu
  4. C

    Naombeni ushauri

    mi ni wa kiume aisee
  5. C

    Naombeni ushauri

    Habari za wakati huu jamani, Ndugu zangu, nimechaguliwa teku-mbeya, chuo kimefungua jumatatu, wao wanataka 565000/= ndipo wanisajiri. Kila ndugu ninaye mwomba hela japo kidogo ananiambia hana kitu na anadai hali ni ngumu kwa sasa. Ndugu zangu, kwangu hii ni...
  6. C

    Majina ya waliochaguliwa kujiunga TEKU

    thanks mkuu... ubarikiwe!
  7. C

    Vyuo vilivyotoa majina hadi sasa

    Naomba mtu aniangalizie s3512/0043/2008 teku apo
  8. C

    Majina ya waliochaguliwa kujiunga TEKU

    Msaada niangalizie s3512/0043/2008 hapo teku
  9. C

    Selection UDSM 2014/2015

    Samahani bro, ukipata na majina ya TEKU tusaidie tafadhari, stay blessed! @ young kibaka.
  10. C

    Jamani tuwe serious kuhusu TCU

    nadhani hayatabadilika chochote
  11. C

    Jamani tuwe serious kuhusu TCU

    asiwe m-bishi wengine aamini tumeona kabisa vyuo tulivyo pangiwa, ila baada ya muda ndo hivyo ukicheki unaambiwa "not found".
  12. C

    Jamani tuwe serious kuhusu TCU

    mi mbna niliona kabisa chuo nilichopangiwa
  13. C

    Umechaguliwa wapi? Kutana na Wanachuo Wenzako!

    wana TEKU mbeya nijuzeni tarehe ya kufungua jamani
Back
Top Bottom