Baadhi ya waislamu inabidi tubadilike, unakuta mtu anamkingia kifua kiongozi na madudu yake kisa ni dini yake, Lissu ni mkristo tena mkatoliki kama Magufuli, lakini tulina alivyokuwa anampa za uso bila uoga.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.