Recent content by Citizen89

  1. C

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri kuhusu course hizi za Diploma

    Ina maana mshahara wake ni mdogo kiasi hicho? Lengo ni kusoma na kupata ajira, suala la mshahara nitajua namna ya kulipangilia.
  2. C

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri kuhusu course hizi za Diploma

    Kozi za AI au Machine Learning (ML) zinapatikana hapa Tanzania? Hiyo data science nimeiona kwenye vyuo kadhaa.
  3. C

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri kuhusu course hizi za Diploma

    Natanguliza shukurani kwa wale wanaosoma huu uzi.
  4. C

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri kuhusu course hizi za Diploma

    Shukurani ziwafikie wote mnaosoma uzi huu. Naomba niende kwenye mada, mimi ni mhitimu wa kidato cha sita 2025 katika Tahasusi ya PCM, kwa mwaka huu ninatamani ku-apply kusoma courses za Diploma. Kuna machaguo mawili; kozi za Diploma za afya na kozi za Diploma za Uhandisi. Nipo katikati sijajua...
Back
Top Bottom