Kusoma diploma sio shida wala kosa, jambo la kuzingatia ni malengo. Kusoma degree sio shida wala kosa, jambo kuu la kuzingatia ni malengo yako.
Kuhusu waliosoma ngazi fulani (diploma/degree) kuwa na dharau hilo ni suala subjective. Tufanye yote ila....
Shukurani ziwafikie wote mnaosoma uzi huu.
Naomba niende kwenye mada, mimi ni mhitimu wa kidato cha sita 2025 katika Tahasusi ya PCM, kwa mwaka huu ninatamani ku-apply kusoma courses za Diploma.
Kuna machaguo mawili; kozi za Diploma za afya na kozi za Diploma za Uhandisi. Nipo katikati sijajua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.