Recent content by Cindy123

  1. C

    Naombeni ushauri wakubwa zangu

    Samahani. Una maanisha nini unaposema ananihitaji? Je yeye hana upendo nami?
  2. C

    Naombeni ushauri wakubwa zangu

    Mimi ni binti wa miaka 23 sasa. Nimekuwa kwenye mahusiano na kijana wa miaka 32. Mahusiano yetu ni ya mbali. Yeye yupo Dar ila mimi nipo mkoa wa mbali sana ambapo kukutatana kwetu ni pale tu inapotokea likizo toka chuo kurudi nyumbani. Hapo tunaweza kuonana. Tumeanza mahusiano huu ni mwaka wa...
Back
Top Bottom