WAHESHIMIWA NIMESOMA MICHANGO YENU NINAWAELEWA SANA KWA MAANA CHANYA
KUNA WALIOULIZA KAMA NILIWAHI KUA NA FAMILIA JIBU NI HAPANA NA KWA SASA NINA MIAKA 26
KUHUSU VIRAL LOAD BADO SIJAFIKIA LEVEL YA KUA UNDETECTABLE ILA NAFUATA VYEMA DAWA
Mimi ni kijana/mwanaume ninayeishi na VVU kwa muda mrefu sasa hivi nimekua nina mahusiano na binti asiye na maambukizi na kwa sasa kwa hakika ninashuhudia mapenzi ya dhati katika historia ya maisha yangu.
Changamoto; kwa muda amekuwa akitaka mimi na yeye tukutane kimwili nikawa namtolea nje...
Habari wakuu soma Kwa makini kisha unisaidie mawazo
Mimi ni kijana wa miaka 25 ni HIV+ ninamalizia elimu yangu chuo fulani kikubwa hapa nchini
Nimekua na mahusiano na mdada mmoja ambae amemaliza chuo last year ambaye na yeye ni HIV+ lakini mahusiano yetu yamekua yanachangamoto sana kutokana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.