Recent content by ChunyaBoi

  1. C

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Tatizo la umeme wilaya ya Chunya

    Kuna tatizo kubwa la umeme wilaya ya chunya umeme ni mdogo sana. Hili tatizo limekaa muda sasa zaidi ya miezi miwili. Mahitaji ya umeme kwenye uendeshaji wa shughuli za kila siku za madini ni makubwa mno. Kukatika kwa umeme eneo hili kunaleta hasara kubwa sana kwa watumiaji.
Back
Top Bottom