Kuna tatizo kubwa la umeme wilaya ya chunya umeme ni mdogo sana. Hili tatizo limekaa muda sasa zaidi ya miezi miwili.
Mahitaji ya umeme kwenye uendeshaji wa shughuli za kila siku za madini ni makubwa mno. Kukatika kwa umeme eneo hili kunaleta hasara kubwa sana kwa watumiaji.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.