Recent content by chunusha

  1. C

    Sheria inasemaje kuhusu kutokufanya malipo mpaka control number ina expire

    Wakuu naombeni msaada wa kisheria kuna jamaa wanajiita mawakala wa vipimo juzi nilichanganya magari nikayaorodhesha then nikayatolea control number pale kwa wale mawakala wa vipimo kuja kushtuka nikagundua nishafanya mistake. Ikapita muda nashangaa yule meneja kaniletea barua ya wito wa polisi...
  2. C

    Control number kulipiwa hii imekaaje?

    Vipi ikitokea umechukua Control Number then usifanye malipo husika mpaka Control number ika expire apo kuna kuwa na kosa kisheria na sheria inasemaje juu hili, msaada jamani kuna jamaa wale wa mawakala wa vipimo kanipeleka hadi polisi kisa sijalipia Control number niliyochukua
Back
Top Bottom