Recent content by Chuma MG14

  1. Chuma MG14

    Ni Mwenyekiti gani wa CCM "B" aliyetajwa na Polepole?

    Kizitto pale jijini mbeya mtaa wa KABWE
  2. Chuma MG14

    Je, ni kweli gesi ya kupikia nchini Cuba inauzwa TZS 2,000? – Uchambuzi wa kitaalamu

    Polepole kaishi pale sasa kwann tusimuamin na ni mtu anaependa kujifunzs lzm aliuliza kwan ni nchi ngap zinauza mitungi ya gas chin ya dollar 1
  3. Chuma MG14

    Huenda Polepole akaishi kwa kukosa amani bali kwa kujificha for fear of unknown maisha yake yote

    Labd tukuambie tu ukweli kwa level ya polepole tunamuamin sana kwwsbb alikuepo wakt hayo yote yanatokea. Hatuwez kumpuuza arafu tukuamin ww
  4. Chuma MG14

    Mrisho Mpoto: Suala la watu kupotea au kutekwa ni la kiusalama, inamuhusishaje Rais

    Uwezo wake wa kujua mambo n finyu sana. Hajui maana ya amiri jeshi mkuu wa majeshi yote nchini. Hujui maana ya raisi na kiongoz wa nchi. Hajui nguvu ya CCM na sauti ya mwenyekiti taifa. Hajui hata umuhimu wa uhai kwa mwanadamu ukiringanisha na huduma asemazo
  5. Chuma MG14

    Mrisho Mpoto: Suala la watu kupotea au kutekwa ni la kiusalama, inamuhusishaje Rais

    Uwezo wake wa kujua mambo n finyu sana. Hajui maana ya amiri jeshi mkuu wa majeshi yote nchini. Hujui maana ya raisi na kiongoz wa nchi. Hajui nguvu ya CCM na sauti ya mwenyekiti taifa. Hajui hata umuhimu wa uhai kwa mwanadamu ukiringanisha na huduma asemazo
  6. Chuma MG14

    Rais ambaye hajawahi kugombea, ilitokea Marekani, itatokea tena huku

    Its almost 2025 tyr naona mengi uliweza kutuonyesha lkn kwass imeshindikana. Au its beyond my paycheck, hata hivyo ntaendelea kugonja unabii kutimilika
  7. Chuma MG14

    Kitabu kilichoanza kuandikwa kisha kikaachwa kitamaliziwa katika hesabu hii

    Unaamin hivyo mkuu..?? Wacha muda utupe muda
  8. Chuma MG14

    Kitabu kilichoanza kuandikwa kisha kikaachwa kitamaliziwa katika hesabu hii

    Alianza kuwaambia majukumu yao, "miaka miwili ijayo sitaendelea tena, mnatakiwa kusimamia ogani." Ingawa haipo, itahakikisha kwamba hakuna atakayeharibu. Ujumbe wa msingi hapa ni huu "miaka miwili ijayo sitaendelea tena, mnatakiwa kusimamia ogani." Inamaan 2025 ataachia wengine au ndio FDR...
  9. Chuma MG14

    Kitabu kilichoanza kuandikwa kisha kikaachwa kitamaliziwa katika hesabu hii

    Ni bora sasa haya mambo yakawa tu kupanguana kisiasa isiwe tena vifo vya viongozi. Ni hatari sana kwa utulivu wa nchi kwasbb wanasiasa mara zote n waroho sana hawataona shida kutafuta upenyo kweny haya. Vyovyote iwavyo TUMIA AKILI amekua km macho yetu ya kesho kwenye uongozi wa taifa letu...
  10. Chuma MG14

    Kitabu kilichoanza kuandikwa kisha kikaachwa kitamaliziwa katika hesabu hii

    Aliwah kusema kuwa mama ni mpitaji tu yupo atakae kuja kuishika vema nchi. Ni mwaka 2020 tena may kbla ya uchaguzi kabla ya kifo cha CHUMA kabla ya mpango kuwa namba 2. Kabla ya kila kitu alijua haya
  11. Chuma MG14

    Kitabu kilichoanza kuandikwa kisha kikaachwa kitamaliziwa katika hesabu hii

    Tunaona mwaka 2020. Aliwah kuandika tena neno NEXT STAGE
  12. Chuma MG14

    Kitabu kilichoanza kuandikwa kisha kikaachwa kitamaliziwa katika hesabu hii

    Iliandikwa hapa NEXT STAGE “Siku tisini halafu siku nyingine mia themanini tayari. Hii hesabu itaanza baada ya ile ya kustaafu. Next stage (ambayo ilishaandikwa) itakuwa tayari kuanza wakati hapatakuwa na kuendelea kwa haya baada ya hiyo ishara na hiyo hesabu.”
Back
Top Bottom