Kuna dalili za watu kukosa kazi kama huna mada yenye mashiko acha wenye nazo walete sio unaleta kashfa, haya kama alikufa tarehe 7 au 14 we unapungukiwa nini au kufaidi nini? kama cku ya kupumzika ni moja na itaendelea kuwa moja. JE ASINGEKUFA USINGEPUMZIKA? acha habari zako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.