empty debes ussualy make the most noise.kama hamjui kulichojiri dodoma niwaambie kwamba kauli moja ambayo ilikuwa inatembea ndani ya wanaCC ni kwamba hamna mtu ambaye ni mkubwa kuliko chama.hii kauli ndiyo ilimfanya membe akatwe jina kwa sababu ingeleta mpasuko.hivyo basi kauli hiyo inasemekana...
Dear Susan "Bashe" Lema Wadhamini wanatakiwa ni 450 kutoka mikoa 15 hizo nyingine mbwembwe tu...na kama mtu unakubalika huna haja ya kuflaunt na kuplay PR Pranks..na mwisho wa siku mgombea wenu hafai na mtakatwa tu.
Madai au matishio ya baadhi ya wagombea kuwa majina yao yakikatwa basi chama kitapasuka ni kilele cha 'umimi' na kujiona kuwa juu ya chama. mwalimu Nyerere pamoja na kupendwa na watanzania wengi bado aling'atuka. Aliamini kwenye dhana ya 'no man is indispendable'. Hawa wanaotishia kuwa kama sio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.