Hawa ni wengine wapo maeneo ya mkolani
Ila kuna dada na mume wake wao wana nyumba kubwa na gari range
Nao wanasema vitu vyao vyote wamepata kupitia Q-net na watu wameanza kuwaita freemason kwa wanavyodai na nilifika hadi hapo wanapo kaa kwasababu nilipelekwa na vijana wengi wanaenda ila...
😂 nilishtuka mapema kwasababu kuna kitu kama hii ilitwa idea debeter back then 2021 niko chuo walikuwa wana opearate kama hao q-net wanavyofanya
Walinipiga 10k chuo ila kuna wengine walipigwa mpak 1M kwahiyo nikashtukia deal ila nilijua hichi kitu nitapata ufafanuzi zaid jf
Za siku nyingi wana JamiiForums, natumaini mu wazima.
Naomba nitoe shukrani zangu kwa JF kwa maada mbalimbali zimekuwa zinasaidia sana, mimi si mtoa maada sana ila msomaji mzuri.
Niende kwenye point. Siku ya leo, nilipigiwa simu na ndugu yangu kwenye ukoo huku Mwanza kuwa ana mchongo kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.