Recent content by Chris makini

  1. Chris makini

    Tatizo la kichwa kuwa kizito sehemu ya nyuma na kuhisi kizunguzungu inaweza kuwa ni dalili ya changamoto gani?

    Asante kwa ushauri itanibidi nifuate kama ulivyosema mkuu tatizo lisipo onekana nitafuata tiba asili omoyo
  2. Chris makini

    Tatizo la kichwa kuwa kizito sehemu ya nyuma na kuhisi kizunguzungu inaweza kuwa ni dalili ya changamoto gani?

    Habari ndugu Wana jf. Natumaini nyie wazima wa afya Tena,niko hapa kuwaomba ushauri na uelewa juu ya tatizo hili la kichwa kuwa kizito sehemu ya nyuma bila kupoteza wakati Moja kwa Moja niende kwenye tatizo nina mdogo wangu wa kiume ana umri wa miaka 26 anasumbuliwa na kichwa kuuma na kuwa...
  3. Chris makini

    Wakuu naombeni msaada juu ya kuagiza Alibaba, bila kutumia njia zao za usafiri

    Habari,mkuu vipi ulifanikiwa kupata mzigo ulioagiza process ilikuwaje?
  4. Chris makini

    Tiba ya Gastroesophageal Reflux Disease (GERD)

    Kijana,tupe na sisi elimu tupone ugonjwa huu nina kaka yangu unamtesa sana amehangaika hospitalini lakini hajapona. Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
  5. Chris makini

    Je, MRI ni suluhisho la vipimo vya kucheki mishipa na tishu ndogondogo za mwili au kuna kipimo kingine tofauti na MRI?

    Asante, lukonge kwa ushauri wako,nitahakikisha najaribu kila namna kupata suluhisho Cha chanzo la ugonjwa wake ikiwa MRI haitatofautiana na maelezo nitakayotoa kwa daktari muhusika. Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
  6. Chris makini

    Je, MRI ni suluhisho la vipimo vya kucheki mishipa na tishu ndogondogo za mwili au kuna kipimo kingine tofauti na MRI?

    Habari, Wadau Mimi nina mdogo wangu aliteguka begi wakati anadaka mpira na kupelekea bega kushuka na kushindwa kubeba vitu swali langu amefanya vipimo cha MRI ya UTI wa mgongo kilingana na utaalamu wa daktari akijua maumivu yake yameanzia kwenye mgongo kusambaa kwenye mabega kwa madaktara...
  7. Chris makini

    Naomba ufafanuzi kuhusu tatizo hili la moyo

    Hi Habari mkuu, naomba kuuliza nina kaka yangu Ana miaka 30 yeye anapenda kahawa pekee vipi,alipima akakuta presha imepanda iko juu 149/100 na nimlev wa kahawa unamsaidiaje kuacha kahawa
  8. Chris makini

    Naomba ufafanuzi kuhusu tatizo hili la moyo

    Hi Habari mkuu, naomba kuuliza nina kaka yangu Ana miaka 30 yeye anapenda kahawa pekee vipi,alipima akakuta presha imepanda iko juu 149/100 na nimlev wa kahawa unamsaidiaje kuacha kahawa?
Back
Top Bottom