Kama wanakataa maboresho sijui wafanyiwe nini mana NHIF wamewaita mezani na wakafika wakatoa ya moyoni sasa ninapoona wanageuka unaona kama kabisa wanaleta siasa kwenye wa binadamu wabadilike
Tunapozungumza kuwa hospital binafsi Kuna vitu wamevificha hawaviongelei na sijui ni kwanini sababu awali walikuwa wanavipigia kelele mfano kulikuwa na usumbufu kwa wanachama kunyimwa baadhi ya huduma kutokana na Bei ya kitita cha 2016 sasa limekuja suruhisho kitita Kipya kimeondoa usumbufu huo...
Mfuko wa Bima ya Afya hawajakurupuka walikaa walipo Fanya maboresho ya kitita waliwashirikisha Wadau wote na waliangalia maeneo muhimu ikiwemo Ada ya Usajili na ushauri wa Daktari hapa ni kuweka usawa ada ya kumuona Daktari kwa kuzingatia taaluma wakaongeza kutoka elfu 15000 mpaka 20000 lakini...
Hizi hospital binafsi hawaongelei waliongezewa malipo ya ada kutoka elfu kumi na Tano 15000 Hadi elfu ishirini 20000 ambao ndo wengi hapa hili hawalioni tuache maneno wakati wa maboresho Mfuko ulihusisha wadau wote wakiwamo hao umoja wa wamiliki binafsi (APHTA )
Tunalalamika bure na kuacha kuangalia vitu Muhimu mfano hai kuongezeka kwa jumla ya dawa 124 katika Orodha ya dawa Muhimu ya Taifa sio hivyo tu kuweka mbadala wa dawa 309 katika kitita cha Mafao huku kukijumuishwa dawa zenye nguvu na muundo wa upatikanaji wa dawa katika Soko haya vituo binafsi...
Umeongea vizuri Chadema people hawataki vijana wa CCM wenye uwezo yaani wanawapinga sana sababu hawataki kuzidiwa kateuliwa Makonda wameumia sana sasa hofu yao akija sabaya itakuwaje
Hakuna acha mawazo potofu ni jambo la kawaida sana tukianza kunyoosheana vidole kwa kila mtuhumiwa basi tutakimbiana hapa yeye alituhumiwa mahakama imeamuwa ukweli hivyo na istoshe ni raia wetu na PM ni wawatanzania wote hivyo hakuna ubaya
Hapa ni jambo la kawaida kabisa kama picha ni ya kweli hakuna ubaya sabaya ni binadamu kama binadamu wengine anahaki ya kukutana na viongozi masaibu yake yameisha yupo huru tusijitie Mungu watu kwenye kuhukumu Mwacheni kijana awe na hata serikali ya Awamu ya sita ikiwapendeza wape nafasi tuone...
Hongera kwa Mawazo yako mazuri lakini ukumbuke Mfuko haupewi fungu kuwa endesha hili unajiendesha kulingana na malipo ya wanachama watu walipe pesa hili unazungumza tu nijambo gumu kulifanya wewe unaandika utekelezaji wake ni mgumu sana
Mnyonge Mnyongeni haki yake Mpeni #NHIF haina mazuri hata kidogo ama tunashindwa kusema ukweli kwa sababu ya Chuki ,Ukifika hospitalini Wamama wanasema yaani kama tusingukua na #Bima hapa tungepata shida hivyo tunaona hayo ndo mazuri ya Bima sijui tumerogwa wapi
Pamoja na kelele zote hizi...
Kuna hoja zingine bana yaani unaziona zina uchuki na Wivu ndani yake kwani suala la magari halihusiani kabisa sababu huu ni usafiri kama usafiri mwingine ni sawa na kusema mtu aache kula sababu hana nguo za kubadilisha.
Hoja hii jamani imeshaelezewa mara nyingi sana na kutolewa ufafanuzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.