hebu tuambie ww great thinker namna ambayo chama kisicho na support kinaweza pata ushindi kokote duniani.hiyo structure unayoizungumzia ni ipi?,ya wizi wa kura au?.
wewe yaweza kuwa ni mpiga debe,lissu amenukuu kitabu cha dr harith ghassany kiitwacho kwaheri ukoloni kwaheri uhuru.ndio zenu hamjibu hoja mnapiga kelele tu.vp hapo mwandishi hapaswi kuulizwa?.
kanuni za bunge zipo, si zitumike?.lini na jambo gani aliambiwa athibitishe akakimbia?,zaidi ya mama makinda kukalia uthibitisho kama ule wa lema alipomtuhumu mzee pinda kuwa ni muongo?.muda wa propaganda umekwisha tunataka fact kama kambi ya upinzani walivyonukuu kwaheri ukoloni kwaheri uhuru.
yawezekana kambi ya upinzani ni waongo na wachochezi kama ilivyosemwa na baadhi ya wana nyinyiem,ili tuweze kuwahukumu kwa dhati tunaomba majibu ya maswali yaliyoulizwa pamoja na vielelezo vya makaburi yao.vinginevyo kusema eti ni propaganda hatutaelewa.wajibiwe kwa hoja si maneno.kizazi hiki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.