Jamani niliarisha masomo baada ya kupata MATATIZO ya KIAFYA saivi nataka nifanye application ili niende CHUO kingine nikasome Tena tatizo no kwamba CHUO nilicho kuwa nasoma wamegoma kufuta jina nisadieni jamani
Kwenye macho kuna vitu vinaitwa photoreceptor cells ambazo huwa zipo Aina mbili ya Kwanza no cones kwa ajili yakumwezesha mtu kuona wakati wa mchana pia hii huweza kufanya kitu kinaitwa color vision hii ndio inafanya macho yaweze kuona vizuri kitu kwa rangi yake halisi na ya pili mi rode ambayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.