Recent content by Choganya

  1. Choganya

    Mpenzi wangu simuelewi

    Maumivu hayafichwi. Akificha leo Kesho yatageuka kuwa mateso kwa nafsi yake huenda akaleta matatizo ya akili. Kama anaumia it's better kutafuta suruhisho. Na sio kunyamaza tu.
  2. Choganya

    Mpenzi wangu simuelewi

    "Love doesn't think twice" Celine Dion aliimba. Ukiona unafikiri na kuwazua mara nyingi zaidi kuhusu Upendo wa mwenza wako= Tunaita "Unamashaka kama anapendwa au lah!" Na hii hutokea baada ya nafsi kuanza kupata mateso(jitahidi kuinusuru) Upendo haupimi upendo: ukiona anapima kama unampenda...
  3. Choganya

    SoC04 Magonjwa ya akili ni chanzo cha utawala mbovu

    Asante Muungwana!! Nafurahi kwa jicho lako jema
  4. Choganya

    SoC04 Magonjwa ya akili ni chanzo cha utawala mbovu

    Wakati ambao dunia inabadirika kwa kasi katika siasa, uchumi, afya, elimu na technolojia, jamii yetu inahangaika kupambana ili kuhakikisha kila mtu anaishi maisha bora na maendeleo yanapatikana kwa kila mmoja. Lakini, juhudi hizi zinarudi nyuma kutokana na changamoto kubwa ambazo jamii inapitia...
Back
Top Bottom