Recent content by Choclet

  1. C

    Kwa tunaoona nje ya box, Ole Sabaya ni fagio la Wanaharakati uchwara mitandaoni na anguko la Mbowe

    Kwani pasco yuwapi sikuhizi maana tangu mwenda zake atoweke hapa duniani sijaona tena post zake
  2. C

    Waziri Mkuu: Dodoma itaendelea kuwa Makao Makuu ya Nchi. Ujenzi utaendelea

    pu3edeferred essiku recorded rods sex
  3. C

    Waziri Mkuu: Dodoma itaendelea kuwa Makao Makuu ya Nchi. Ujenzi utaendelea

    Kama mambo yanaenda vizuri si yaonekane kwa macho sio maneno ya nadharia
  4. C

    Profesa Assad ni muongo, duniani 73% ya ndege zote za biashara hununuliwa kwa pesa taslimu

    Ila mungu ni fundi sana tujifunze kwa siku nyingine
  5. C

    Profesa Assad ni muongo, duniani 73% ya ndege zote za biashara hununuliwa kwa pesa taslimu

    Hata madudu ayaendeleze? uwage na akili ya kutambua njema na baya sio kila kitu ndiyooooo
  6. C

    Rais Samia Suluhu ateua Wabunge wapya watatu na kuteua Baraza la Mawaziri

    Bashite vipi bado tu mtoto wa mtaani
  7. C

    Kuna siri gani ambayo Jenerali Venance Mabeyo anataka kumpa Rais Samia Suluhu?

    Inaelekea mbeyo yuko vizuri kwenye mambo ya katiba maana wakati wanataka kugeuza katiba ili makamu asipewe kiti cha enzi
  8. C

    Kumuenzi Hayati Magufuli, mkoa wa Chato uitwe Magufuli

    Sio tu mkoa ni jiji la Chato
  9. C

    Kumuenzi Hayati Magufuli, mkoa wa Chato uitwe Magufuli

    Tunaomba mama atirudishie jiji letu la Dar maana Dar kama dar ina historia ndefu sio tu mtu anakuja kubadilisha kirahisirahisi
  10. C

    Zitto Kabwe: Nani anaongoza nchi yetu?

    Wahusika ni serikali hasa waziri mkuu telephone aliye danganya umma kwenye nyumba ya ibada Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
  11. C

    Nini hatma ya miradi ya Chato?

    Haya maswali yatajibika kwa vitendo
Back
Top Bottom