Huyu jamaa kama hataki kutoa information hapa basi tusimtafute. Anaweza kudai pesa kuwa anajua matibabu. Maelezo yake ni marefu ila hajatoa taarifa muhimu. Anaficha nn? Kwa nn asisaidie watu hapa?
Sawa inawezekana alishaenda. Kuna ugumu gani kutaja hospitali, daktari na dawa ulizotumia?
Napata wasiwasi kuwa huna nia ya msaada ila una jambo. Maelezo mengi lakini taarifa muhimu hakuna. Itakuwa unataka watu waje inbox ili biashara ifanyike. Weka kila kitu hapa hadharani.
Hoffenheim
Weka vitu wazi Huna haja ya kuficha. Taja jina la hospitali na dawa ulizopewa ili watu wanufaike nazo. Maelezo yamekuwa mengi km unafanya promotion. Fupisha stori tumsaidie jamaa huyo.
Wana JF,
Kuna mjadala umetokea sehemu nikaona huenda kuna ufumbuzi humu ndani ya Jukwaa letu. Ni hivi jamaa kachepuka. Akirudi kwa wife kitu kinalala, akienda kwa mchepuko mambo fresh. Hii ni nini? ni ushirikina au ni saikolojia? Hebu tudadavue kuweka mambo fresh. Nini suluhu ya hii kitu?
Choba
Hello Red Giant,
Umeingia bonge la chaka.. Vungi la kongo mtu anapaka kwenye mbolo, hizo zingine ni za kumeza.. sasa hakuna muingiliano hapo.
ok.
umeongia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.