Recent content by choba

  1. C

    Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume: Chanzo cha tatizo na ushauri wa jinsi ya kukabiliana na tatizo hilo

    Huyu jamaa kama hataki kutoa information hapa basi tusimtafute. Anaweza kudai pesa kuwa anajua matibabu. Maelezo yake ni marefu ila hajatoa taarifa muhimu. Anaficha nn? Kwa nn asisaidie watu hapa?
  2. C

    Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume: Chanzo cha tatizo na ushauri wa jinsi ya kukabiliana na tatizo hilo

    Sawa inawezekana alishaenda. Kuna ugumu gani kutaja hospitali, daktari na dawa ulizotumia? Napata wasiwasi kuwa huna nia ya msaada ila una jambo. Maelezo mengi lakini taarifa muhimu hakuna. Itakuwa unataka watu waje inbox ili biashara ifanyike. Weka kila kitu hapa hadharani.
  3. C

    Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume: Chanzo cha tatizo na ushauri wa jinsi ya kukabiliana na tatizo hilo

    Hoffenheim Weka vitu wazi Huna haja ya kuficha. Taja jina la hospitali na dawa ulizopewa ili watu wanufaike nazo. Maelezo yamekuwa mengi km unafanya promotion. Fupisha stori tumsaidie jamaa huyo.
  4. C

    Lifahamu tatizo la Nguvu za Kiume na Suluhisho lake

    Mzizi ni mfanya biashara tu kama wengine. Anazitafuta.
  5. C

    Suluhu Inahitajika: Kwa mchepuko fresh, kwa wife dolo

    sijakupata hapa Sosthenes Maendeleo
  6. C

    Suluhu Inahitajika: Kwa mchepuko fresh, kwa wife dolo

    wewe Nzuri Pesa, toa ufafanuzi zaidi please.
  7. C

    Suluhu Inahitajika: Kwa mchepuko fresh, kwa wife dolo

    kurogwa.. makubwa jamani.. suluhu ni ipi sasa?
  8. C

    Suluhu Inahitajika: Kwa mchepuko fresh, kwa wife dolo

    Wana JF, Kuna mjadala umetokea sehemu nikaona huenda kuna ufumbuzi humu ndani ya Jukwaa letu. Ni hivi jamaa kachepuka. Akirudi kwa wife kitu kinalala, akienda kwa mchepuko mambo fresh. Hii ni nini? ni ushirikina au ni saikolojia? Hebu tudadavue kuweka mambo fresh. Nini suluhu ya hii kitu? Choba
  9. C

    Vumbi la Congo na hatari ninayoiona

    Hello Red Giant, Umeingia bonge la chaka.. Vungi la kongo mtu anapaka kwenye mbolo, hizo zingine ni za kumeza.. sasa hakuna muingiliano hapo. ok. umeongia
  10. C

    Kuna ukweli hapa?

    mimi sijui. jaribu aafu utupe mrejesho.
  11. C

    CHADEMA inapoteza hadhi sababu ya uongozi dhaifu wa M/kiti Freeman Mbowe

    wapi unapatikana Dada mchangamadini?
  12. C

    ITV vs Rais Magufuli na CCM

    Endelea kuangalia *TV na TBC ndo zinakufaa. Achana na TV za viwango km ITV.
Back
Top Bottom