Tatizo ni kwamba hakuna aliyejaribu na inawezekana wataalamu hawajatengeza mbegu,ni kweli soko la dagaa ni kubwa Kama utafiti ukifanyika inawezekana bwawa linaloweza kubeba Sato 500 likabeba dagaa wengi ambao pia wanaweza kuwa wanakuwa kwa muda mfupi kuliko samaki.
Habari wanajamvi?
Mimi ni Raia mpya jamvini na nimelazimika kuja huku ili nipate msaada wa ushauri juu ya changamoto niliyonayo.Nianze kwa kueleza nimekuwa kwenye ajira kwa vipindi vinne tofauti ingawa kwa zaidi ya miaka 7
lakini hakuna tija niliyopata kutokana na ajira hizo imefika wakati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.