Recent content by chiwanga11

  1. chiwanga11

    Hakuna sehemu yenye Majungu, unafiki kama Maofisini

    Hata sisi tunasemwa sana. Siku moja niliwapa lift mabinti fulani waliokuwa wanaelekea uelekeo mmoja na tulipokuwa tunaenda. Hawakuomba lift friendly mimi ndiye niliyemwambia dereva asimame awabebe. Another day inatokea situation kama hiyo ila kwa watu wengine tofauti. Siku hiyo nakuwa na...
  2. chiwanga11

    Nzige Wavamia Kilimanjaro

    Kaka ni kweli, tunapigwa Changa la macho kwenye hili sakata. Nzige walioanzia Longido, Namanga na kuingia mkoa wa Kilimanjaro bado hawajateketezwa. Kina Bashe na Mkenda wanadili na lile kundi moja la upande wa Simanjiro. Hili kubwa sana halitangazwi.
  3. chiwanga11

    Nzige Wavamia Kilimanjaro

    Wakivamia shamba la Migomba limakuwa jeupee
  4. chiwanga11

    Nzige Wavamia Kilimanjaro

    😂😂😂😂Nimejikuta nacheka kwa sauti
  5. chiwanga11

    Nzige Wavamia Kilimanjaro

    Ni waharibifu sana mkuu
  6. chiwanga11

    Nzige Wavamia Kilimanjaro

    Acha kutukana bila sababu.
  7. chiwanga11

    Siku kuwa na masaa 72

    Who is Counting?
  8. chiwanga11

    Siku kuwa na masaa 72

    Wewe una mentality ya Kulala kwasababu ni usiku.
  9. chiwanga11

    Nzige Wavamia Kilimanjaro

    Hawa Wadudu ni wabaya sana.
  10. chiwanga11

    Nzige Wavamia Kilimanjaro

    Bado hawajaingia Hai. Hapo ni Siha
  11. chiwanga11

    Nzige Wavamia Kilimanjaro

    Something dangerous. Umeiona Video?
  12. chiwanga11

    Nzige Wavamia Kilimanjaro

    Ni hatari kuliko unavyofikiria.
  13. chiwanga11

    Nzige Wavamia Kilimanjaro

    Tizama Video.
Back
Top Bottom