Recent content by CHITANDA JJ

  1. C

    Je, chuo ulichosoma kimeshika nafasi ya ngapi Afrika?

    Hata katika kundi la wabovu kuna wa kwanza mwenye nafuu so wewe ni mwanzi unajisifu kwa kuushinda m'bua nguvu vp kikiletwa chuma utasema nini?
  2. C

    Mnaosubilia CSEE RESULT 2013 checkin hapa.

    Uliyoongea mkuu ni sawa, ila niongezee tu kidogo kuwa; kufeli kwa mtihani huo sio mwisho wa mafanikio na tusilazimishe mfumo mmoja tu wa elimu hata ufundi pia unafaa.
  3. C

    New comer

    Hodi hodi wakongwe
Back
Top Bottom