Bandari ya Ujiji imedumaa tofauti na matarajio yetu wana Kigoma Ujiji.
Kuna suala la Bandari ya Ujiji Kigoma tunaomba Serikali itusaidie Wananchi wa Kigoma Ujiji ,Bandari ya UJIJI haileta matarajio kama ilivyotarajiwa kutokana na kasoro kadhaa.
Bandari ya Ujiji ni bandari ya tatu kwa ukubwa...
TAARIFA KWA UMMA.
Jana tarehe 22 Septemba 2022, Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lilifanya Uchaguzi wa Wabunge wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA).
Mimi nilikuwa mgombea kwenye kundi la Walio Wachache Bungeni. Mshindani wangu, Mashaka Ngole wa CUF alichaguliwa.
Licha ya...
GERSON MSIGWA AJIUZULU
Ndugu zangu waandishi wa habari, kwanza nawashukuru kwa kuitikia wito wangu na kufika hapa leo. Nimewaita kwa jambo moja tu ambalo niliona haitakuwa sawasawa likiachwa na kupita hivi hivi.
Kabla sijalitaja jambo hilo naomba niseme mapema kuwa ninazungumza katika mkutano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.