Recent content by Chipupute

  1. C

    JamiiForums Tanzania Mchango wa Sekta ya Betting kwa Mapato ya Serikali ya Tanzania na Changamoto Wanazopitia Wateja

    Sekta ya michezo ya kubashiri (betting) imekuwa moja ya vyanzo vikuu vya mapato kwa serikali ya Tanzania. Kupitia kodi na leseni zinazolipwa na makampuni ya betting, serikali inapata fedha zinazochangia bajeti ya taifa. Kwa mfano, kodi kutoka sekta hii imesaidia kufadhili miradi mbalimbali ya...
  2. C

    JamiiForums Tanzania Aviator ni utapeli, wacheza kamari shitukeni

    In recent years, the Aviator game has gained immense popularity, particularly among young people seeking quick thrills and easy money. While it might seem like a harmless and entertaining pastime, the reality is far more dangerous. This game has led countless individuals into financial ruin...
  3. C

    JamiiForums Tanzania Upande usioujua kujusu Aviator Game (Kandege)

    Absolutely yes!
  4. C

    JamiiForums Tanzania Upande usioujua kujusu Aviator Game (Kandege)

    Leo tuangazie adui wa maendeleo kwa watu wa rika zote anayejulikana kama aviator na maarufu kwa jina la Kandege. Mchezo huu umegubikwa na siri nyingi sana na ambazo wenye betting sites wamekuwa wakizitumia kuchota mamilioni ya fedha kutoka kwa wateja wao bila jasho. Wachezaji wa huu mchezo...
  5. C

    JamiiForums Tanzania Huduma ya kujitenga (self exclusion) kwenye makampuni ya kubashiri iwe kwa mujibu wa sheria

    Huduma ya kujitenga kwa muda ama moja kwa moja (temporary self exclusion or permanent self exclusion) kwenye makampuni ya michezo ya kubashiri (online) haipaswi kuwa ni huduma ya hiari kwa watoa huduma bali itengenezewe sheria na kuwa ya lazima. Katika nchi duniani huduma hii inasimamiwa kwa...
Back
Top Bottom