China mbongo akikamatwa na sembe ananyongwa hakuna mjadala..Tanzania mchina anakamatwa na pembe za ndovu anawekwa police siku mbili tatu mwisho story hatujui zinaishaje. VERRY SAD
Huyu jamaa na wenzake walikwenda Moshi wakamchukua mwanamke mmoja wakijidai usalama wa taifa na kwamba anahitajika kituoni wakampiga pingu wakidai tuhuma ataenda kuzijulia kituoni..kufika kituoni wakapita na safari ya Dar ikaanza walipofika Dar wakampora na kumtelekeza Tegeta na sasa yupo hapa...
Huyu jamaa anajulikana kwa jina la Deo Mgasa ni hatari na amekuwa akitumia vitambulisho vya usalama wa taifa kupigia matukio yake... Kuweni makini wana Jamii Forum wenzangu maana huwez kujua lini utakutana nae ni mtu hatari sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.