Rafiki yangu anapata maumivu kuanzia kiunoni hadi juu ya makalio hasa wakati wa kukaa.kipimo cha MRI kaambiwa disc mbili zinauvimbe yaani posterior disc bulge L3/4 and L4/5.tunaomba ushauri wa dawa na aina gani ya mzoezi afanye maana kaambiwa afanye pia mazoezi.
Bado nakaribisha mawazo ndg zangu hata kama kunaushauri ili nipone maana binadamu tunapitia changamoto nyingi katika maisha na shida huwa zinafanana.
Karibuni
Habari wapendwa,
Nasumbuliwa na maumivu ya kiuno na mgongo nilipima Dtk. kaniambiwa pingili za uti wa mgongo zimebanana chaajabu nimeanza kutibiwa tangu January hadi Leo nakunywa dawa kila siku bado maumivu yapo hasa wakati wa kukaa pingili ya chini kwenye mkia makalioni.
Tafadhali kama kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.