Recent content by ChimeraX

  1. C

    JamiiForums Tanzania TANROADS watu wanajenga kwenye road reserve are mnawaangalia. Wekà beacon za mwisho wa roas reserve from Tanga to Pangani kama za Magufuli.

    Nimeona jamaa anajenga pale eneo la commercial kwenye road reserve
  2. C

    JamiiForums Tanzania Oneplus brand new non-active phone

    Bei za bati zangu piece 123 za ALAF nimetoka kununua juzi 🙌🏾
  3. C

    JamiiForums Tanzania Hivi Ndivyo Benki Hutumia Pesa Zako

    Hawa washenzi ndio maana wamelimit kiasincha kutoa cash
  4. C

    JamiiForums Tanzania Tukiachana na CCM huyu WAZIRI WA MAJI JUMA AWESO anachapa Kazi Kwa moyo na hasubirii kusukumwa Wala kuimbiwa na MACHAWA

    Nimeomba na nimelipia niunganishiwe maji tangu mwezi wa 6 mpaka sasa napigwa danadana Ukifatilia unaambiwa Bado tunaunganishia wa mwezi wa 3 na wa4
  5. C

    JamiiForums Tanzania Jussa kaamua kufungua Pandora box! Kazi imekwisha

    Wahakikishe hawabakizi kitu hii awamu
  6. C

    JamiiForums Tanzania Kwahiyo leo kila kitu kinafungwa na kutiwa muhiuri kusubiri hukumu

    Ndio hivyo
  7. C

    JamiiForums Tanzania Karata pekee aliyo nayo Nchimbi ni kujiunga CHADEMA

    Mtego huo
  8. C

    JamiiForums Tanzania Kama kweli Nchimbi amewekwa kizuizini kuna uwezekano yote haya yanafanyika kinyume na matakwa yake

    Shida wanakiwa madarakani huwa wanaona hayawezi kuwapata haya
  9. C

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu: Heche ongeza moto wameanza kutoana maini

    Hii ni kama ukifungia samaki ziwani Kwa kusema unamkomoa
  10. C

    JamiiForums Tanzania Mke wangu anapenda 'kupumua' mbele yangu. Ananidharau au ndio mapenzi yenyewe?

    Anakupenda sana huyo na anakuwa huru zaidi anapokuwa nawewe
  11. C

    JamiiForums Tanzania Angekuwepo Magufuli, bei ya cement isingefikia Tsh 28000/= kanda ya ziwa

    Hii nchi Ina viwanda vya cement zaidi ya 7 lakini bei ni kubwa kuliko uhalisia Hapa nilipo ni km 5 kutoka viwanda vitatu vikubwa vya cement ila bei ni 17,500/=
  12. C

    JamiiForums Tanzania Msumari wa TEC: Mambo Muhimu Yaliyojiri Kwenye Mkutano wa Hivi Karibuni wa TEC (Agosti 2026)

    So sad CCT na KKKT ya Malasusa ilishajifia na kuwekwa mifukoni
  13. C

    JamiiForums Tanzania Baada ya haya mabadiliko kuwa walimu wenye Diploma kushushwa chini kufundisha Primary school. Nimeamua kwenda University. Na ninabadili kada

    Diploma kwenye taasisi au shirika la umma anaanza na 1.6m, Degree 2.6m
  14. C

    JamiiForums Tanzania (Kumbukizi) Lema: Jenista, kwa jinsi unavyopenda Uwaziri siku ukitumbuliwa unaweza ukafa

    Umenichekesha sana kwamba mbowe kufanyiwa figisu 🤣🤣🤣
  15. C

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Tume ya Jaji Chande yaomba wananchi watume taarifa za uvunjifu wa amani zilizotokea wakati wa uchaguzi

    Ikija tume ya uchunguzi ya mauaji ya kikatili uchaguzi wa October nitatuma taarifa
Back
Top Bottom