Recent content by ChimeraX

  1. C

    (Kumbukizi) Lema: Jenista, kwa jinsi unavyopenda Uwaziri siku ukitumbuliwa unaweza ukafa

    Umenichekesha sana kwamba mbowe kufanyiwa figisu 🤣🤣🤣
  2. C

    PostGE2025 Tume ya Jaji Chande yaomba wananchi watume taarifa za uvunjifu wa amani zilizotokea wakati wa uchaguzi

    Ikija tume ya uchunguzi ya mauaji ya kikatili uchaguzi wa October nitatuma taarifa
  3. C

    Hivi mmegundua hata CCM ni kama wanajitenga na Rais? Anatetewa na masheikh tu sasa

    Kingine wanaangalia zaidi future zao kuliko kumtetea rais anayemaliza mda wake
  4. C

    Hivi mmegundua hata CCM ni kama wanajitenga na Rais? Anatetewa na masheikh tu sasa

    Umtetee rais anayemaliza mda wake wakati una future yake mbele
  5. C

    PostGE2025 Ni rahisi sana kutabiri atakachozungumza Samia na Wazee wa Dar Dec 02

    Sasa angeeita vijana awaambie hayo maneno sio hao wazee wa dar waliogoma kuitea wazee
  6. C

    Nini hasa lengo la hii Press ya Fr. Kitima siku ya leo?

    Mpaka mkiri makosa na uwajibikaji Tukitaka kupoa tunaliamsha tena, Bado Gwajiboy hajazungumza
  7. C

    TANESCO: Tumesikitishwa na taarifa za shirika kuhusishwa na matukio ya Kihalifu

    Nchi ya makanusho , kwamba tulitegemea mkiri na kukubali kuwa mlizima umeme?
  8. C

    PostGE2025 Pendekezo Rahisi: Maneno 3 akiyasema Samia kesho yatazuia Maandamano yasiyo na Ukomo

    Anachoongea mnyiramba mwenzagu mwigulu ndio msimamo wa Samia Usitegemee chochote kutoka Kwa rais haramu
  9. C

    PostGE2025 Mwisho wa Samia na utawala wake utakuwa mbaya sana

    Hii tume imeundwa kuchunguza namna waandamanaji na si mauaji
  10. C

    Tume iliyoundwa inatafuta mtu wa kumbambikizia kesi ya mauwaji yaliyofanyika. Waliouwa ni mamlaka ya Samia haibadiliki na ushahidi upo

    How Yan kivipi watatunga hiyo stori kwamba NGO, wanaharakati au Upinzani ndio walipiga risasi raia zaid ya 10,000??
  11. C

    "Umkhonto we Sizwe" (MK) ilianzishwa na kina Mandela baada ya mauaji ya watu wachache kuliko waliouawa kwenye MO29

    Ikitokea hata mtu akaanzisha kikundi atapata vijana wengi sana Shida ni kupata pori la kujifichia sasa☹️
  12. C

    Ramani, Makadirio, Elimu na Ushauri kuhusu Ujenzi

    Huu Uzi nilikuwa nimeusave tangu mwaka jana nafikiri ni mda na mm niombe ushauri haka ka ramani
Back
Top Bottom