Recent content by chimera

  1. chimera

    Matumiz ya gari kibiashara hapa Dar

    Asante Kwa ushaur ni manual
  2. chimera

    Matumiz ya gari kibiashara hapa Dar

    Nawasalimu wote wana jf Nina gari (hiace) ambayo nataka kuitumia kibiashara hapa jikon Dar Naomba ushauri je?!! Naweza kuitumia katika biashara gan jijijin yenye faida atleast kusukuma haya maisha?? NB: Gari hili mali binafsi yani sipeleki hesabu kwa boss Kila ushauri ntapokea na kuufanyia kazi
  3. chimera

    Ninadaiwa Tala, Branch na M-pawa. Nisipowalipa watanifanya nini?

    Nilikopa TALA, sasa juzi nmelipa na nataka kukopa tena wananpa ujumbe kuwa maombi yangu wanayashughulikia ni zaidi ya siku ya tatu, Je n kwangu tuu au na kwa wengine?
  4. chimera

    Hivi ni sawa mke wa mtu kwenda likizo kwao kila mwaka?

    Mke hana likizo Kwan hyo shule au ajira , huyo analake
  5. chimera

    Chunusi: Chanzo, tiba na jinsi ya kuepukana nazo

    Habar wanajamii wenzangu. Kuna rafiki yangu anasumbuliwa sana na chunusi zaidi wakati akiingia kwenye siku zake. Aliambiwa akiwa na mtoto hiyo hali itaisha na sasa ashaolewa ila hali bado inaendelea Naomba ushauri ni jinsi gani naweza msaidia.
  6. chimera

    Hii tabia inanikera sana

    hamna mapenz hapo mana ukiacha kumpigia at a acha kukuomba na ukikaa kimya atakaa kimya ss n bora kuamua tuu 1. May b ka n mchepuko sawa BT mtu wa future afu anafanya hvyo n bora ukimbie mana atakuumiza San badae. huyo ana mtu wake ambae amwombi hela ss ww anakukomoa ili umwache Sent using...
  7. chimera

    Sijui nimeathirika na Nyeto au La !

    ina elekea hata huyo mke wako hmpendi san; kwa ushauri rudisha mapenz kwa wife afu kuwa nae karibu yan ishi nae kila ukitaka unakamata wife tuu mpaka hyo hali itakuisha afu jua madhara ya punyeto mana cku ya mwisho hata huyo mke wako utamshindwa mana unauwa misuli ya uume wako Sent using Jamii...
  8. chimera

    Adhabu gani inamfaa anayeleta maneno ya kuvunja ndoa za watu?

    naona ka nyie mmeamua kutoa airtime kwa mzee soon mpatapa matokeo Sent using Jamii Forums mobile app
  9. chimera

    Mke wangu anataka account password yangu ya fb

    No, huyu n mke rasmi, mke wa mtandaoni hapana Sent using Jamii Forums mobile app
  10. chimera

    Mke wangu anataka account password yangu ya fb

    cna wasiwasi BT hana sababu n aina gan ya mambo mengi anayasemea kwenye a/c cz kila kitu tunashare hata posts za fb freely Sent using Jamii Forums mobile app
  11. chimera

    Mke wangu anataka account password yangu ya fb

    kushare n lazima BT kuna vya kushare, kuna privacy [emoji358] za mtu hata akiwa kwenye ndoa Sent using Jamii Forums mobile app
  12. chimera

    Mke wangu anataka account password yangu ya fb

    thx Sent using Jamii Forums mobile app
  13. chimera

    Mambo matano ambayo ukiolewa ni lazima uachane nayo;

    No. 4 na 5 hiz n kero sana hasa wanawake weng ndo wanaendekeza Sent using Jamii Forums mobile app
  14. chimera

    Mke wangu anataka account password yangu ya fb

    Za asubuhi wanajamii, Mimi ni mzima wa afya, Naomba niende direct kwenye mada kama kichwa kinavyojieleza mimi ni kijana nimeoa ka mwaka sasa umepita, tunaishi kwa furaha na amani tele but cha kushangaza tokea wiki iliopita mke wangu amekua akidai account nina mambo mengi sana na anataka nimpe...
Back
Top Bottom