Recent content by chime pinchi

  1. C

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Lazima Utunze taarifa zako coz humu kuna watu wengi na huwezi jua nani ni nani🤣
  2. C

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Siwezi kutaja KADA kaka..ila jua tu hawa jamaa unatakiwa usome sana kusu professional ya taasisi husika sio kishuleshule..ukiona taasisi flani basi ni bora ukaanza kuifanyia research inadeal na Nini na ikibidi kutafuta watu wanaofanya kazi hapo LinkedIn na fb then unadadisi contents zao nazani...
  3. C

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Tano ni za mida na kada tofauti mwaka juzi na Jana nkawa narnda...mwanzoni nilikuwa naenda nafanya written nakandwa..nkaanza kuchukulia Hawa jamaa serious Kwa kusoma kila sikubna kila nkienda katika intavyuu nakua na washikaji so nimejua vitu vingi na kukutana na wadau kibao so ikafika kipindi...
  4. C

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hizo Saba sio kwa pamoja Mzee nimepiga sana tripu...ila Kwa hizi zilizotoka niliomba mbili so nlikuwa nasubiri two position placement...ila hizo zingine nibza nyuma
  5. C

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hivi huyu jamaa anayetoa pdf huwa anamwambia mkewe amuamshe saa tatu ndio atoe au Huwa alarm yake inaliaga saa tatu akimwagilia moyo
  6. C

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Unaweza kufanya zote ila kama ukifika katika oral waombe uanze wa kwanza katika nafasi Moja then ukitoka unawahi ingine Kuna mwanangu alipata kama hivyo inawezekana kufanya zote waweke wazi ila uwahi Moja uwe wa kwanza Kwa kuwaomba inawezekana kabisa
  7. C

    SoC02 Nilichagua kusoma, akachagua biashara, nikaenda kumkopa pesa akanishauri nifanye biashara, leo nimemuajiri ananiomba nimsaidie akasome!

    Habari za muda huu ndugu msomaji wa makala hii. Napenda kukukaribisha kusoma simulizi hii fupi yenye uhalisia Kwa namna Moja ama nyingine. Tukiwa na umri wa miaka kumi Mimi na rafiki yangu aitwae Mido tulikuwa ni watoto wa mfano sana kijijini kwetu tulipokulia, wazazi wangu na wazazi wa Mido...
  8. C

    SoC02 Mitandao ya kijamii ni jamvi linalotuunganisha, maudhui ya kikao juu ya jamvi yasitusambaratishe

    Ndugu msomaji wa makala hii, kwanza napenda kukukaribisha katika kuchanganua mawazo yetu kwa namna Moja ama nyingine Ili tu kujenga weredi na utashi wa maarifa yetu kupitia jamvi hili ambapo tunaketi na kujadili masuala ya msingi, yanayoweza kusaidia kuanzia mtu binafsi familia na hata maendeleo...
Back
Top Bottom