Kwa upande wangu naona huu muhimili wa judicially hauko huru kuna wanachama wa vyama vya siasa,angalia Chenge,Augustine Ramadhan,Leo Tulia,sasa muhimili huu utakuwaje huru kkama watu wanafanya kazi wakiwa na kadi za vyama
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.