Kati ya degree tajwa hapo juu ni ipi ina faida kwa upande wa ajira na kujiajiri pia? Na je wanatofautianaje kimajukumu?
Na soko lake la ajira serikarini au private sector lipoje kwa kozi zote mbili?
Natanguliza shukrani zangu za dhati
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani naomba mnaojua mnisaidie,
Mimi nimechaguliwa sokoine university of agriculture bachelor ya animal science, nyumbani kwetu hawana uwezo wa kunilipia tuition fee, nilikuwa nategemea sana mkopo , kwa bahati mbaya batch one na two zote nimekosa, je naweza kuwafata bodi ya mkopo moja kwa...
Jamani wapendwa naombeni msaada mwenye uelewa kuhusu Bachelor of Animal Science. nataka kuelewa kuhusu ajira zake pamoja na jinsi ya kujiajiri.
Natanguliza shukrani zangu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.