Recent content by chifu wa kibena

  1. chifu wa kibena

    JamiiForums Tanzania Nani yupo sahihi,Afande Sele au Mrisho Mpoto?

    Mrisho
  2. chifu wa kibena

    JamiiForums Tanzania Usitupe, nipe mimi

    Kamwene
  3. chifu wa kibena

    JamiiForums Tanzania Usitupe, nipe mimi

    Hapana tunazikusa sio pesa ni vifaa pekee chakula nguo na vinginevyo Vikisha kuwa tayari tunatangaza Siku ya kupeleka mwenye nafasi tunaenda nae
  4. chifu wa kibena

    JamiiForums Tanzania Usitupe, nipe mimi

    Wengi wanavitu vichache hivyo kupeleka wanaona havitoshi, sisi sisi tumejitolea kuvikusanya Kwa mmoja mmoja km nishati ,akweti halafu tunazifikisha kwao Kwenye tangazo namba zipo 0789482438
  5. chifu wa kibena

    JamiiForums Tanzania Usitupe, nipe mimi

  6. chifu wa kibena

    JamiiForums Tanzania Usitupe, nipe mimi

    Kama unachochote au hata kwa jirani au rafiki usije ukakiona kidogo au kibaya kunawengine wana kitafuta hicho Hivyo tualifu na tutakifuata ili tuchanganye na vya wengine, kisha tutatangaza siku ya kupeleka tuta jumuika wote.. Mungu akutangulie kwenye kutafakari hili.
  7. chifu wa kibena

    JamiiForums Tanzania Hivi Sugu mbona haongelewi na wanachadema baada ya kugonga na kuua?

    HAO WAMEZOE KUONGELEA MATATIZO YA WENZAO
  8. chifu wa kibena

    JamiiForums Tanzania Kukamatwa, kupigwa risasi Lissu: Chama cha Wanasheria Uingereza chamlima barua Rais Magufuli

    wanataka muda wote tuwasujudie
  9. chifu wa kibena

    JamiiForums Tanzania Tanzania yetu

    Daniel Zenda kweli we jembe la vijana , imaniyetu utaifikisha idara hii tunapo pataka na kufanya watu wasio jijua washindwe kuisoma namba
Back
Top Bottom