Recent content by chiefmangungo

  1. C

    Zitto athibitisha CHADEMA kupoteza Igunga

    Matusi hayasaidii kubadili matokeo Igunga, CDM tumieni akiri na uelewa, mambo huwa hayaendi mtakavyo nyny yanaenda kwa kufuata taratibu, kanuni na sheria. kama umeshindwa umeshindwa tu, jipangeni huu sio mwsho wa uchaguzi kubalini matokeo hakuna namna nyngne.
Back
Top Bottom