Recent content by Chief Ortambo Ikumenye

  1. Chief Ortambo Ikumenye

    JamiiForums Tanzania GE2025 Siku nne zijazo kuna viongozi wawili watatoa kauli ngumu sana

    Una wivu nao? Unataka kuwa wao?
  2. Chief Ortambo Ikumenye

    JamiiForums Tanzania GE2025 Siku nne zijazo kuna viongozi wawili watatoa kauli ngumu sana

    Una wivu nao? Unataka kuwa wao?
  3. Chief Ortambo Ikumenye

    JamiiForums Tanzania GE2025 Samia: Kila kitu kipo ni kuheshimisha utu wa Mtanzania, sina uchungu nabeba matusi yote yanayotolewa

    Sio hata matusi hata... vitu anafunua Mange ni matusi au ni facts za ufisadi. Azitolee maelezo, kutafuta huruma hakusaidi
  4. Chief Ortambo Ikumenye

    JamiiForums Tanzania Kwa hali ya kawaida: Hivi mtu unawezaje kuiba zaidi ya Bilioni 100?

    Ina maana atakula yote hiyo?
  5. Chief Ortambo Ikumenye

    JamiiForums Tanzania Kwa hali ya kawaida: Hivi mtu unawezaje kuiba zaidi ya Bilioni 100?

    Yaani kwa umri wangu huu wa miaka labda 40; hizo Bilioni 100 za uwizi zanifaa nini haswa? Kwasababu hizi fedha hata kwa kuzila haziishi. Na mbaya zaidi: unakuta kwamba mtu anafanya wizi; anadhulumu haki za watu wengine kupata huduma, imagine hiyo ingewapa wanafunzi wangapi mikopo ya elimu ya...
  6. Chief Ortambo Ikumenye

    JamiiForums Tanzania Kutapika damu kwa mgonjwa madonda ya tumbo inaweza kuwa hatari kiasi gani?

    Nenda hospitali na fuata ushauri wangu, acha maswali mengi.
  7. Chief Ortambo Ikumenye

    JamiiForums Tanzania Kutapika damu kwa mgonjwa madonda ya tumbo inaweza kuwa hatari kiasi gani?

    Kuhusu ganzi kwenye magoti na unyayo: Nenda kafanye full blood picture, hiyo ni nerves issues ila inasababishwa na issues za damu; hapo yawezekana una upungufu wa damu au una high uric acid. Umepungua uzito? Lishe yako ipoje?
  8. Chief Ortambo Ikumenye

    JamiiForums Tanzania Tutemegee kuona maghorofa zaidi yakijengwa, kuna wanasiasa waliofukuzwa uwaziri watafilisika muda si mrefu

    Ifike mahali tukubali kwamba aliyepata amepata, maisha yaendelee watu warudishe fedha ndani ya uchumi uchumi uimarike. Hii kuwa haunt down hao mnaowaita mafisadi akati hao wanaowasaka nao ni mafisadi ni kupoteza muda
  9. Chief Ortambo Ikumenye

    JamiiForums Tanzania Mtanzania Dkt. Wendeline achaguliwa kuwa Mkurungenzi wa Benki ya Dunia Kanda ya Afrika anayesimamia Nchi 22

    Kukua ni issue personal... ni kweli mazingira ya serikali huwa hayakukumbushi kupiga hatua ila fursa za kukua always zipo
Back
Top Bottom